AFYA
26 November 2022, 8:38 am
Early Madrasa Childhood: Kuwapa elimu ya utetezi watu wenye ulemavu
Watu Wenye Ulemavu Kisiwani Pemba wamesema elimu waliyopatiwa kutoka taasisi ya Early Madrasa Childhood imeweza kuwasaidia kuwajengea uwelewa wa kiutetezi katika kupata haki zao kisheria. Akizungumza Maryam Juma Kombo kutoka Taasisi ya Usalama Barabarani amesema kupitia elimu hiyo ameweza…
9 October 2021, 8:14 am
Wizara ya afya watakiwa kutoa elimu ya chanjo vijijini
Kutokuwepo kwa elimu ya kutosha kwa baadhi ya vijiji ni changamoto inayopelekea kushindwa kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa korona. Wakizungumza na mwandishi wa habari hizi kwa nyakati tofauti wananchi wa wilaya ya mkoani wamesema ni vyema wizara ya afya…
28 September 2021, 11:18 am
Wananchi Pemba waomba Elimu ya Uviko-19
Na Fatma Suleiman Wananchi kisiwani pemba wameiomba serikali kutoa elimu kuhusu korona wimbi la tatu, ili kuongeza uelewa na kuzidisha tahadhari ya kujikinga na maambukizi hayo kwa wanajamii Wakizungumza na habari hizi baadi ya wananchi hao, wameeleza kuwa awali ilipoingia korona…
28 September 2021, 10:28 am
Jeshi la Polisi mkoa wa Kusini Pemba wafanikiwa kukamata Kete 350 za dawa za kul…
Na Amina Ahmed Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Pemba limefanikiwa kukamata jumla ya kete 350 za madawa ya kulevya aina ya heroini yaliyokuwa yakiuzwa kwa vijana wanaotumia na kuwashikilia watu wawili wakihusika na biashara hiyo haramu. Kamanda wa Polisi…