Mkoani FM

AFYA

26 November 2022, 8:38 am

Early Madrasa Childhood: Kuwapa elimu ya utetezi watu wenye ulemavu

  Watu Wenye Ulemavu Kisiwani Pemba wamesema elimu waliyopatiwa kutoka taasisi ya Early  Madrasa Childhood imeweza kuwasaidia kuwajengea uwelewa wa kiutetezi katika kupata haki zao kisheria. Akizungumza Maryam Juma Kombo kutoka Taasisi ya Usalama Barabarani  amesema  kupitia elimu hiyo ameweza…

9 October 2021, 8:14 am

Wizara ya afya watakiwa kutoa elimu ya chanjo vijijini

Kutokuwepo kwa elimu ya kutosha kwa baadhi ya vijiji ni changamoto inayopelekea kushindwa kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa korona. Wakizungumza na mwandishi wa habari hizi kwa nyakati tofauti wananchi  wa wilaya ya mkoani wamesema ni  vyema  wizara  ya  afya…

28 September 2021, 11:18 am

Wananchi Pemba waomba Elimu ya Uviko-19

Na Fatma Suleiman Wananchi kisiwani pemba wameiomba serikali kutoa elimu kuhusu korona wimbi la tatu, ili kuongeza uelewa  na kuzidisha tahadhari  ya kujikinga na maambukizi hayo kwa wanajamii Wakizungumza na habari hizi baadi ya wananchi hao, wameeleza kuwa awali ilipoingia korona…