Micheweni FM

WANAWAKE KUNYIMWA FURSA

28 September 2021, 2:06 pm

RC kaskazini Pemba, alalamika kutengwa wanawake

NA MWIABA KOMBO. MKUU wa mkoa wa kaskazini Pemba, Salama Mbarouk Khatib, amesema kunyimwa haki wanawake na watoto katika miaka ya hivi sasa, kunatokana na kasoro za sheria zilizotungwa miaka hiyo, kwa kutowashirikisha wanawake. Amesema, ndio maana leo serikali, jamii,…