Micheweni FM
WANAWAKE KUNYIMWA FURSA
28 September 2021, 2:06 pm
RC kaskazini Pemba, alalamika kutengwa wanawake
NA MWIABA KOMBO. MKUU wa mkoa wa kaskazini Pemba, Salama Mbarouk Khatib, amesema kunyimwa haki wanawake na watoto katika miaka ya hivi sasa, kunatokana na kasoro za sheria zilizotungwa miaka hiyo, kwa kutowashirikisha wanawake. Amesema, ndio maana leo serikali, jamii,…