Micheweni FM

Elimu

7 March 2024, 12:36 pm

Wanafunzi Pemba watakiwa kujiunga na IIT Madrasa

IIT Madrasa ni chuo kikuu chenye kujitegemea kinachotoa kozi mbali mbali za Teknolojia ambapo ujio wake hapa hapa Zanzibar kitaweza kutangaza fursa nyingi na kuleta mabadiliko na mageuzi makubwa ya maendeleo kwa upande wa Zanzibar. Na Mwiaba Kombo WANAFUNZI kisiwani…