Micheweni FM
Elimu
29 March 2024, 9:36 am
Zaidi ya wanafunzi 200 wasoma chini ya mti skuli ya Minungwini
Skuli ya Minungwini ni baadhi ya skuli ambayo ipo katika wilaya ya Wete mkoa wa Kaskazini Pemba na ni miongoni mwa skuli ambazo zimejengwa kwa muda mrefu na miundombinu yake imechakaa. Na Zuhura Juma Wanafunzi 274 wa skuli ya msingi…
7 March 2024, 12:36 pm
Wanafunzi Pemba watakiwa kujiunga na IIT Madrasa
IIT Madrasa ni chuo kikuu chenye kujitegemea kinachotoa kozi mbali mbali za Teknolojia ambapo ujio wake hapa hapa Zanzibar kitaweza kutangaza fursa nyingi na kuleta mabadiliko na mageuzi makubwa ya maendeleo kwa upande wa Zanzibar. Na Mwiaba Kombo WANAFUNZI kisiwani…