Micheweni FM

JAMII

7 March 2024, 12:36 pm

Wanafunzi Pemba watakiwa kujiunga na IIT Madrasa

IIT Madrasa ni chuo kikuu chenye kujitegemea kinachotoa kozi mbali mbali za Teknolojia ambapo ujio wake hapa hapa Zanzibar kitaweza kutangaza fursa nyingi na kuleta mabadiliko na mageuzi makubwa ya maendeleo kwa upande wa Zanzibar. Na Mwiaba Kombo WANAFUNZI kisiwani…

9 December 2021, 10:55 am

Waziri Soud aona mbali sekta ya viungo Tanzania

NA ZUHURA JUMA, WAZIRI wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo Zanzibar Soud Hassan Nahoda amesema, Tanzania ina nafasi kubwa ya kuendeleza sekta ya viungo ili kupanua wigo wa kufikia ubora wa soko la bidhaa hizo. Akizungumza katika Kongamano la kusaidia…

12 November 2021, 5:58 am

Waandishi acheni woga ibuweni habari za rushwa(Zaeca)

Na Mwiaba Kombo MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu wa Uchumi Zanzibar ‘ZAECA’ ACP, Ahmed Khamis Makarani, amewataka waandishi kuacha woga na kuandika habari za wala rushwa na watoaji, kwani hiyo ndio sehemu ya uwajibikaji. Amesema, uwajibikaji…

6 October 2021, 11:34 am

PEGAO yataja mwarubaini wanawake kushika hatamu

Na Zuhura Juma. WANANCHI wametakiwa kushirikiana pamoja katika kuwainua wanawake, ili kuhakikisha wanakuwa viongozi kuanzia ngazi ya jamii hadi Taifa. Akizungumza na wananchi wa shehia ya Tumbe Magharibi, Mkurugenzi wa Jumuiya ya PEGAO Pemba Hafidh Abdi Said amesema, wanawake wanao…

1 October 2021, 9:12 am

7000 watoroka Skuli Wilaya ya Micheweni

Na Ali Kombo PEMBA Zaidi ya Wanafunzi 7000 wilaya ya Micheweni hawaendi skuli na kuifanya wilaya hiyo ikawa inaongoza kwa wanafunzi walio watoro licha ya kuonekana ni ya mwanzo kitaifa kwa wanafunzi waliofaulu Kauli hiyo imetolewa na mkuu wa wilaya…