Mazingira FM
ukatili
15 March 2024, 4:25 pm
Jumuiya ya wazazi CCM Bunda yalaani tukio la mwanafunzi kubakwa, kulawitiwa
Jumuiya ya wazazi CCM Bunda yalaani mwanafunzi kubakwa, kulawitiwa yaitaka serikali kubitia vyombo vyake kuhakikisha sheria inachukue mkondo wake kwa atakayethibitika kutenda kosa hilo. Na Adelinus Banenwa Mwenyekiti wa wazazi CCM wilaya ya Bunda wakili Leonard Magwayega amekemea vikali kitendo…
13 March 2024, 6:26 pm
Mwalimu mkuu adaiwa kubaka, kulawiti na kumnywesha sumu mwanafunzi wake
Vitendo vya ukatili kwa watoto hasa ubakaji na ulawiti vimeendelea kushamiri Kanda ya Ziwa licha ya serikali na mashirika mbalimbali kupinga vitendo hivyo, juhudi za maksudi zinahitajika kumaliza tatizo hili. Na Adelinus Banenwa Tukio hilo linatajwa kutokea Machi 9, 2024,…