Mazingira FM

kisiasa

28 September 2021, 1:15 pm

Tamau: kamati yasiasa yakaa nakuamua

Akizungumza katika ufunguzi wa kikao hicho Mwenyekiti wa CCM tawi la Tamau, Matale Kikoi amesema ni kwa muda sasa kumekuwa hakuna mahusiano mazuri kati ya viongozi wa chama na serikali katika mtaa wa Tamau jambo linalokwamisha utekeleza wa shughuli za…

27 April 2021, 6:05 am

Milion 80 kujenga madarasa manne kata ya Bunda stoo

Diwani wa kata ya bunda stoo Flaviani Chacha  amewapongeza wadau wa maendeleo kwa kuendelea kujitolea katika kuisaidia serikali kutatua kero za wananchi Akizungumza na Redio Mazingira Fm April ,22/ 2021 Flavian amesema amepokea shilingi milion 80 kutoka kwa wadau wa…