Mazingira FM
Jamii
2 April 2021, 4:42 pm
Mwananchi akamatwa kwa kusafirisha Kobe 438 Simiyu
Jeshi la Polisi linamshikilia Mkazi wa Bunda Mkoani Mara kwa kukutwa akisafirisha Kobe 438 kwenye mabegi matatu bila ya vibali Kobe hao wana thamani ya Shilingi Milioni 71.