habari
7 May 2024, 2:40 pm
Waathirika wa mafuriko Lamadi wapongeza viongozi kuwatembelea
Na Edward Lucas Wahanga wa mafuriko kata ya Lamadi Wilaya ya Busega Mkoani Simiyu wamewashukuru viongozi wa CCM mkoa na Mkuu wa Wilaya ya Busega kuwatembelea na kusikiliza changamoto zao. Wakizungumza na Radio Mazingira Fm kwa nyakati tofauti baada ya…
17 April 2024, 11:55 pm
Radi yaua mtoto Bunda, mwingine ajeruhiwa wakiwa ndani
Mtoto mmoja afariki dunia na wengine watatu wanusurika kifo huku mwingine akijeruhiwa vibaya baada ya kupigwa radi wakiwa ndani ya nyumba kujikinga mvua. Na Edward Lucas Magreth Gomisi (7) amefariki dunia na ndugu zake watatu wakinusurika kifo huku mmoja akiwa…
17 February 2024, 8:35 pm
Bunda: Aliyezikwa aonekana tena, ndugu wapigwa na butwaa
Maajabu aliyezikwa baada ya ndugu kupata taarifa za kifo chake aonekana tena, wakazi wa eneo hilo wapigwa na butwaa wakidhani ni mzimu. Na Adelinus Banenwa Maajabu aliyezikwa baada ya ndugu kupata taarifa za kifo chake aonekana tena wakazi wa eneo…