Mazingira FM

Elimu

29 May 2024, 6:51 pm

NMB yatoa msaada wa dawati 100 shule ya msingi Bigutu

“wanafunzi hakikisheni mnayalina na kuyatunza madawati pia walimu hakikisheni mnayakarabati madawati yaliyoharibika” DC Naano Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Bunda Mhe Dkt Vicent Naano ameishukuru bank ya NMB kwa kutoa msaada wa madawati shule ya msingi Bigutu huku…

22 May 2024, 7:08 pm

65% ya wanafunzi Bunda hufeli mtihani kidato cha nne

Wazazi kutofatilia maendeleo ya watoto shuleni , utoro na ukosefu wa chakula shuleni chanzo cha wanafunzi wengi kufeli mtihani wilayani Bunda. Na Adelinus Banenwa Serikali wilayani Bunda chini ya mkuu wa wilaya dkt Vicent Naano imewasilisha utekelezaji wa ilani ya …