![](https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/wp-content/themes/radiotadio/assets/img/banner/1500x300.jpg)
![](https://radiotadio.co.tz/mazingirafm/wp-content/uploads/sites/14/2021/03/whatsapp-image-2021-03-24-at-152149-150x150.jpg)
21 June 2024, 2:14 pm
Walimu msijione wanyonge kazi yenu serikali inaitambua hivyo timizeni wajibu wenu pia fanyeni kazi acheni mazoea hakuna mwanafunzi mjinga wala dhana ya shule ya serkali haifaulishi. Na Adelinus Banenwa Naibu katibu mkuu wizara ya Rais TAMISEMI anayeshughurikia upande wa elimu …
6 June 2024, 9:15 am
Kipindi kinachoelezea kwa namna gani ushirikishwaji wa watu wenye ulemavu kwenye afua mbalimbali za kijamii unaleta mabadaliko ya kujitambua na kujithamini ili kufikia malengo yao – elimu kutoka shirika lisilo la kiserikali ATFGM-Masanga
2 June 2024, 4:17 pm
Mhe Maboto “ili sehemu iwe na maendeleo inahitaji viongozi waadilifu katika kusimamia miradi na fedha zinazoletwa kwenye maeneo yao.” Na Adelinus Banenwa Mbunge wa jimbo la Bunda mjini mhe Robert Chacha Maboto amekabidhi meza 107 za wanafunzi shule ya sekondari…
29 May 2024, 6:51 pm
“wanafunzi hakikisheni mnayalina na kuyatunza madawati pia walimu hakikisheni mnayakarabati madawati yaliyoharibika” DC Naano Na Adelinus Banenwa Mkuu wa wilaya ya Bunda Mhe Dkt Vicent Naano ameishukuru bank ya NMB kwa kutoa msaada wa madawati shule ya msingi Bigutu huku…
29 May 2024, 6:25 pm
Imetajwa kuwa chakula shuleni ni muhimu ili kuongeza hali ya mwanafunzi kufanya vizuri kitaaluma. Na Adelinus Banenwa Suala la ukosefu wa chakula mashuleni, walimu kutotimiza majukumu yao pamoja na ushilikiano kati ya wazazi na walimu imetajwa kama chanzo cha kushuka…
25 May 2024, 7:22 pm
Aliyekutwa akijisomea na kuandika notes kwa kutumia mwanga wa taa za barabarani huku akiuza karanga na miwa mjini Bunda usiku apewa zawadi na mkuu wa wilaya kama motisha. Furaha Hamis mwanafunzi wa shule ya sekondari Nyamakokoto aliyekutwa akijisomea chini ya…
22 May 2024, 7:08 pm
Wazazi kutofatilia maendeleo ya watoto shuleni , utoro na ukosefu wa chakula shuleni chanzo cha wanafunzi wengi kufeli mtihani wilayani Bunda. Na Adelinus Banenwa Serikali wilayani Bunda chini ya mkuu wa wilaya dkt Vicent Naano imewasilisha utekelezaji wa ilani ya …
18 April 2024, 12:07 pm
Kipindi kinachoelezea kwanamna gani mogororo ndani ya ndoa na familia invyoathiri haki zaw watoto wenye uleamvu – elimu kutoka shirika lisilo la kiserikali ATFGM-Masanga
12 April 2024, 11:59 am
Kipindi kichoelezea umuhimu wa elimu ya afya ya uzazi kwa vijana wenye ulemavu elimu kupitia shirika lisilo la kiserikali ATFGM-Masanga
27 March 2024, 11:13 am
Kipindi kinachoelezea namna ya kupambana na ukatili, ndoa za utotoni na ukeketaji kwenye familia – elimu kutoka shirika lisilo la kiserikali ATFGM-Masanga