Loliondo FM
Siasa
9 April 2024, 11:17 am
Mbunge Ole Shangai awaka sakata la uhamaji wa hiari Ngorongoro
Katika harakati za kuendelea kuwafikishia viongozi wa juu wa serikali kero za wananchi wa Ngorongoro, mbunge Emanuel Shangai amesimama bungeni kuhoji kwa Waziri Mkuu sakata la uhamaji Ngorongoro ikiwa ni la hiari kwanini wananchi wanawekewa vikwanzo vya kimaendeleo? Na Edward…