Elimu
7 April 2024, 2:21 pm
FIFA watoa mafunzo kwa walimu wa michezo Ngorongoro
Mafunzo ya ukocha ngazi ya awali kwa walimu wa michezo shule za msingi na sekondari yameanza kitolewa wilayani hapa ambapo moja ya faida kubwa ambazo wanufaika wataipata na kuelewa na kufahamu zaidi mbinu mbalimbali za mpira wa miguu na mifumo…
15 March 2024, 12:36 pm
Wananchi Samunge, Digodigo kero zao mikononi mwa Dc Sakulo
Ni muendelezo wa zira za mkuu wa wilaya Kanali Sakulo katika kutembelea vijiji na kata mbalimbali kusikiliza na kutatua kero za wananchi. Na mwandishi wetu Wananchi Kata ya Samunge na Kata ya Digodigo Machi 14, 2024 wamemshukuru Mhe. Mkuu wa…
8 March 2024, 11:03 am
Kamati ya siasa Arusha yaridhishwa miradi ya maendeleo Ngorongoro
Ni ziara ya mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) akiambatana na viongozi wengine wa mkoa ikiwemo mkuu wa mkoa wa Arusha Mh John Mongella wamefanya ziara ya kukagua miradi ya maendeleo wilayani hapa huku wakitoa pongezi kwa mkurugenzi mtendaji kwa…
8 November 2021, 1:02 pm
Baraza la madiwani lapendekeza chuo kuitwa jina la OLenasha .
Na Edward Shao. Baraza la Madiwani la halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro lapendekeza chuo cha ualimu kinachojengwa katika kata ya oloipiri Kijiji Cha Orkuyaine tarafa ya loliondo wilayani Ngorongoro kiitwe jina la aliyekuwa naibu waziri uwekezaji ofisini ya waziri mkuu…