ujenzi wa kituo cha Afya
April 16, 2024, 9:46 am
Kipagalo watakiwa kujitoa kwa moyo utekelezaji wa miradi
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Makete, Mhe. Christopher Fungo, amewataka wakazi wa kata ya Kipagalo kujitoa kwa moyo katika ujenzi wa kituo cha Afya cha kata hiyo. Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Makete, Mhe. Christopher Y. Fungo, leo…
March 1, 2024, 7:22 am
Wananchi waishukuru serikali kuwafikishia umeme Igolwa Makete
katika kutekeleza miradi ya umeme vijijini,wananchi wa kijiji cha Igolwa kilichopo katika kata ya Ipepo waipongeza Serkali kwa kuwafikishia Umeme,huku wakiomba Serkali kutatua changamoto ya Barabara. Wananchi wa kijiji cha Igolwa Kata ya Ipepo Wilayani Makete wameipongeza Serikali na Viongozi…
February 8, 2024, 5:28 pm
Serikali yatoa fedha kujenga kituo cha afya Mfumbi Makete
Kata ya Mfumbi ni miongoni mwa kata ambazo zimepewa mradi wa ujenzi wa kituo cha afya ikiwa ni mpango wa halmashauri ya wilaya ya Makete kujenga vituo vya afya ktika kata zote ambazo hazina vituo vya afya pamoja na kuboresha…