Kitulo FM
kilimo
April 17, 2024, 6:24 am
Maafisa ugani watakiwa kusimamia zao la ngano Makete
katika kusimamia na kutekeleza kwa vitendo mpango wa Serikali wa kufungua fulsa za kiuchumi katika Wilaya ya Makete maafisa ugani wametakiwa kusimamia kilimo cha zao la ngano kwalengo la kuleta tija kiuchumi kwa wananchi wa Wilaya ya Makete. Na Aldo…