Keifo FM

Afya

31 May 2024, 18:25

Kyela:Harufu mbaya yatatiza afya za watu Butiama

Kutokana na hali ya mrundikano wa taka ulikithiri katika kizimba cha soko la jioni Kapwili wamelalamiki harufu mbaya inayosababishwa na kujaa kwa taka kizaimbani hapo. Na Nsangatii Mwakipesile Wananchi na wafanyabiashara katika soko la jioni la njia panda kapwili wameitaka…

15 May 2024, 10:09

Madaktari wa Mama Samia watua Kyela

Wakati serikali ikiendelea na mkakati kabambe wa kuwapatia huduma za kibingwa wananchi wake timu ya madaktari bingwa watano kutoka Dar es salaam wametia nanga katika hospitali ya wilaya ya kyela kwaajiri ya huduma za kibingwa. Na James Mwakyembe Timu ya…

8 May 2024, 17:29

21180 wapatiwa chanjo saratani mlango wa kizazi Kyela

Wakati wa serikali na wadau mbalimbali wa afya kitaifa na kimataifa wakiendelea na juhudi za kutokomeza ugonjwa wa saratani ya mlango wa kizazi jumla ya wasichana elfu ishirini na moja mia moja themanini wamepatiwa chanjo ya ugonjwa huo hapa wilayani…