Karagwe FM

Karagwe- 91.4 fm

12 April 2021, 12:04 pm

“Mimba kwa wanafunzi sawa na dawa za kulevya”

Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa Kagera Revocatus Malimi amesema kuwa Jeshi la Polisi mkoani hapa limeandaa mikakati mbalimbali itakayosaidia kupambana na tatizo la mimba za utotoni kwa wanafunzi  wanaosoma katika shule za Msingi na Sekondari . Kamanda Malimi amesema…

TAKUKURU KAGERA

8 April 2021, 2:25 pm

Mkufunzi ashikiliwa kwa rushwa ya Ngono.

Mkufunzi mmoja wa chuo cha Kilimo Maruku kilichoko katika Halmshauri ya wilaya ya Bukoba anashikiliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU mkoa wa Kagera baada ya kunaswa katika nyumba ya wageni Mjini Bukoba akimshawishi kumpa rushwa ya…