Karagwe FM

#elct karagwe dioces

23 April 2024, 9:23 pm

Askofu Bagonza ataja kundi la wabakaji Karagwe

Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Karagwe Mch.Dk Benson Bagonza. Picha na Eliud Henry Kumekuwa na wimbi kubwa la vitendo vya ubakaji wa watoto wilayani Karagwe mkoani Kagera ambapo ndani ya kipindi kifupi kwa mujibu…