utekelezaji wa ilani ya CCM
July 12, 2023, 6:38 pm
Cherehani aiomba halmashauri ya Ushetu kutenga eneo ujenzi wa kituo cha afya
Kijiji cha Ulowa kina zahanati moja ambayo haikidhi mahitaji ya wananchi ambapo mbunge wa jimbo la Ushetu Emmannuel Cherehani ameiomba halmashauri kutafuta eneo la kujenga kituo cha afya chenye thamani ya shilingi milioni 500 Na Sebastian Mnakaya Halmashauri ya Ushetu…
July 4, 2023, 3:02 pm
Unafahamu kuhusu ugonjwa wa fistula?
Kipindi cha afya ya uzazi kinachorushwa Kahama Fm kila jumapili kuanzia saa 4 hadi saa 5 asubuhi.
July 4, 2023, 11:20 am
Wakazi Kata ya Nyandekwa wahimizwa ushirikiano ujenzi wa zahanati
Wakazi wa Bujika kata ya Nyandekwa wilayani Kahama wametakiwa kuacha kukwamisha shughuli ya ujenzi wa zahanati kijijini hapo. Na Clement Paschal Wakazi wa kijiji cha Bujika kata ya Nyandekwa wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuacha kukwamisha shughuli ya ujenzi wa…
August 18, 2021, 9:05 pm
Mkoa wa Shinyanga unaendelea kusimamia na kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya Chama…
Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Dkt. Philemon Sengati amesema Serikali ya Mkoa wa Shinyanga inaendelea kusimamia na kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kufanya mambo yanayoonekana katika jamii ili kuhakikisha kura za uchaguzi zinaenea katika uchaguzi Mkuu ujao. …