HABARI
July 11, 2023, 5:52 pm
KUWASA yamlipisha Faini ya Shilingi Milioni mbili Samweli Samson Mwita
Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Kahama (KUWASA) imeanzisha kampeni ya kuwabaini watu wanaohujumu mamlaka hiyo ndani ya manispaa ya Kahama kwa kushirikiana na wananchi Na William Bundala Mamlaka ya maji safi na usafi wa Mazingira Wilayani Kahama…
November 4, 2021, 4:06 pm
KAHAMA: halmashauri ya Msalala kupokea zaidi ya shilingi bilioni mbili.
Serikali imetoa fedha kiasi cha shilingi bilioni mbili na milioni mia nne na kumi,kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo kwa halmashauri ya Msalala wilayani Kahama mkoani Shinyanga, ikiwa ni fedha za ustawi wa maendeleo ya Taifa na mapambano…
October 2, 2021, 2:34 pm
Kahama:wakurugenzi kusimamia mabaraza ya wazee.
Serikali mkoani Shinyanga imewaagiza wakurugenzi wa halmashauri zote sita kuhakikisha wanasimamia na kuyawezesha mabaraza ya wazee ili yaweze kufanya kazi kikamilifu pamoja na kutenga fedha kwa ajili ya utekelezaji wa shuguli za wazee. Agizo hilo limetolewa na mkuu wa mkoa…