KAHAMA
May 31, 2021, 1:48 pm
OSHA YAZINDUA MPANGO WA KUSAJILI NA KUKAGUA MAENEO YA WAJASIRIAMALI WADOGO.
Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) umezindua mpango maalum wa kuwasajili na kuwahudumia wajasiriamali wadogo kupitia ukaguzi wa sehemu za kazi, kuwapa mafunzo na ushauri wa kitaalam kuhusiana na masuala ya usalama na afya mahali pa kazi.…
May 27, 2021, 4:28 pm
KAHAMA:Jeshi la Polisi lawakamata watuhumiwa wa mauaji na matapeli Sugu.
Jeshi la polisi mkoani Shinyanga linawashikilia watuhumiwa wawili SHINJE NGULA (23) mkazi wa Nindo wilaya ya Shinyanga vijijini na KISINZA LUSAMILA (28) mkazi wa mkoani katavi kwa kosa la mauaji ya HADIJA KISINZA mkoani humo. Kamanda wa polisi mkoani Shinyanga…
May 26, 2021, 7:42 am
Wafanyabiashara wa Soko la Sango Kahama waiomba serikali Kuboresha Miundombinu.
Wafanyabiashara katika eneo la PHATOMU wilayani Kahama mkoani Shinyanga wameiomba serikali kuboresha miundombinu katika soko la SANGO lililopo kata ya NYASUBI manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga, baada ya kuondolewa katika eneo hilo, na Mtendaji wa kata, na kutakiwa kwenda katika…
May 17, 2021, 9:40 am
DC KAHAMA:Wauguzi na wakunga zuieni vifo vya wajawazito na watoto.
Serikali imewaagiza wauguzi na wakunga katika halmashauri ya Msalala mkoani Shinyanga kuhakikisha wanazuia vifo visivyokuwa vya lazima vya akinamama wajawazito na watoto kwa kutoa huduma za afya stahiki na kwa weledi utakaowezesha wananchi kufurahia upatikanaji wa huduma za matibabu. Kauli…
May 6, 2021, 7:23 pm
Wanaume wafanyiwa ukatili na wanawake.
Imeelezwa kuwa Moja ya ukatili wa kijnsia unaojitokeza katika kata ya Nyamilangano halmashauri ya ushetu wilayani kahama mkoani shinyanga, ni baadhi ya wakina baba kupigwa na wake zao hali inayosababisha kutelekeza familia zao pamoja na wanandoa kutokugawana mali inapotokea wameachana.…
May 6, 2021, 7:06 pm
Madiwani wa Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga wameiomba bod…
Madiwani wa Halmashauri ya ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga wameiomba bodi ya tumbaku Tanzania kushughulikia tatizo la vyama vya msingi vinne ambavyo havijalipwa fedha zao tangu msimu uliopita na makapuni ya ndani ya ununuzi wa tumbaku. Akizungumza katika kikao cha…
April 29, 2021, 9:52 am
Vibaka 17 wakamatwa Shunu Kahama,RPC awashukia wazazi.
Vibaka wakabaji 17 wenye umri chini ya miaka 18 wamekamatwa mtaa wa Shunu Kata ya Nyahanga manispaa ya kahama na jeshi la polisi katika oparation maalumu iliyofanyika kwa muda wasiku tatu. Wakazi wa mtaa wa Shunu kata ya Nyahanga manispaa…
April 28, 2021, 7:06 am
TBS yatoa Elimu kwa wasindikaji wa Mchele Kahama.
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limetoa elimu kwa wasindikaji, wajasiriamali na wadau wa mchele wilayani Kahama mkoa wa Shinyanga katika mnyororo wa thamani kuhusu kanuni bora za uzalishaji,matakwa ya viwango,namna bora ya uhifadhi,elimu juu ya vifungashio na taarifa za msingi…