Kahama FM

KAHAMA

July 7, 2021, 11:19 am

Wanaume wilayani Kahama washauriwa kutoa taarifa za ukatili.

Wanaume wilayani Kahama mkoani Shinyanga wameshauriwa kutoa taarifa za ukatili katika dawati la jinsia pindi wanapofanyiwa  ukatili na wenza wao, ili waweze kutatuliwa changamoto zinazowakabli katika jamii.. Wito huo umetolewa na KOPLO JOSEPH shayo wakati akizugumza na KAHAMA FM, ambapo…

July 7, 2021, 10:55 am

Kaya masikini kunufaika na mradi wa TASAF Kahama.

Serikali wilayani Kahama mkoani Shinyanga imewataka viongozi, wawezeshaji na watendaji kutoa elimu kwa kaya masikini zinazopatiwa ruzuku ili fedha wanazopata waweze kijikimu na kuongeza kipato chao, kwa kuanzisha miradi itakayowapatia kipato cha kudumu. Kauli hiyo imetolewa na mkuu wa wilaya…