KAHAMA
July 14, 2021, 7:54 am
KAHAMA:Mradi wa kituo cha Mafunzo ya Kilimo wa Barrick kuwanufaisha wakulima.
Mradi wa ujenzi wa kituo cha mafunzo ya kilimo na ufugaji katika kata za Mwendakulima na Mondo unaofadhiliwa na kampuni ya madini ya Barrick,mgodi wa Buzwagi, umeanza kunufaisha wakulima na iwapo watatumia ujuzi wanaopata kituoni hapo watafanikiwa zaidi kwa kuongeza…
July 9, 2021, 6:29 pm
DC KISWAGA:Wana Kahama Jitokezeni Julai 12 kuupokea Mwenge wa Uhuru.
Mkuu wa wilaya ya Kahama Mh Festo Kiswaga amewataka wananchi wa Manispaa ya Kahama kujitokeza kwa wingi kuupokea mwenge wa Uhuru ambao unatarajia kuingia manispaa ya Kahama Tarehe 12/7/2021. Kiswaga amesema kuwa mwaka huu mwenge wa uhuru utapokelewa na baada…
July 7, 2021, 4:27 pm
Madiwani, watendaji na wawezeshaji katika halmashauri ya ushetu watakiwa kutoa r…
Madiwani, watendaji na wawezeshaji katika halmashauri ya ushetu wilayani kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kutoa ruzuku kwa kaya masikini kupitia TASAF kwa kuzingatia sifa za watu wanaopaswa kupata ruzuku hiyo, kwa uadilifu na kuzingatia taratibu, kanuni na sheria za utoaji fedha…
July 7, 2021, 4:18 pm
kikundi cha vijana 10 chapatiwa pikipiki 20 zenye thamani ya shilingi millioni 5…
Halmashauri ya Msalala wilayani Kahama mkoani Shinyanga imekabidhi pikipiki 20 zenye thamani ya shilingi millioni 50 kwa kikundi cha vijana 10 katika kijiji cha Kakola kata Bulyanhulu. Akizungumza katika hafla ya kukabidhi pikipiki hizo mkuu wa wilaya ya Kahama FESTO…
July 7, 2021, 11:19 am
Wanaume wilayani Kahama washauriwa kutoa taarifa za ukatili.
Wanaume wilayani Kahama mkoani Shinyanga wameshauriwa kutoa taarifa za ukatili katika dawati la jinsia pindi wanapofanyiwa ukatili na wenza wao, ili waweze kutatuliwa changamoto zinazowakabli katika jamii.. Wito huo umetolewa na KOPLO JOSEPH shayo wakati akizugumza na KAHAMA FM, ambapo…
July 7, 2021, 10:55 am
Kaya masikini kunufaika na mradi wa TASAF Kahama.
Serikali wilayani Kahama mkoani Shinyanga imewataka viongozi, wawezeshaji na watendaji kutoa elimu kwa kaya masikini zinazopatiwa ruzuku ili fedha wanazopata waweze kijikimu na kuongeza kipato chao, kwa kuanzisha miradi itakayowapatia kipato cha kudumu. Kauli hiyo imetolewa na mkuu wa wilaya…
June 8, 2021, 5:40 pm
Watumiaji wa barabara watakiwa kuzingatia sheria na kanuni za barabarani Kahama.
Jeshi la polisi kitengo cha usalama barabarani Manispaa ya Kahama, mkoani Shinyanga limesema licha ya uchache walionao wanajitahidi kutoa elimu kwa watumiaji wa vyombo vya moto ili kuepusha ajali zinazotokea za mara kwa mara. Akizungumza na KAHAMA FM mkuu wa…
June 8, 2021, 5:05 pm
Wazazi na waelezi katika Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga watakiwa kuwa wazal…
Wazazi na waelezi katika manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuwa wazalendo kwa kuwalea Watoto wao katika maadili yaaliyo mema na kuwaonyesha njia sahihi ya kulitumikia taifa. Hayo yamesemwa na mkuu wa wilaya ya Kahama ANAMRINGI MACHA wakati wa uzinduzi…
June 1, 2021, 6:18 pm
Wakala wa huduma za misitu Tanzania(TFS)Manispaa ya Kahama watakiwa kujitathmini…
Wakala wa huduma za misitu Tanzania (TFS) wilayani Kahama mkoani Shinyanga imetakiwa kujitathmini katika utendaji kazi wao, ikiwa ni pamoja na kuzuia ukataji miti na kuchukua mbao kwa wafanyabiasha. Agizo hilo limetolewa na Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Tawala…
June 1, 2021, 6:04 pm
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama yapongezwa kwa kuelekeza fedha za mapato ya nd…
Halmashauri ya manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga imetakiwa kuendelea kutekeleza miradi mbalimbli ya maendelea kwa kutumia mapato ya ndani ili kutatua changamoto za wananchi. Kauli hiyo imetolewa leo na waziri wa nchi ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali…