Joy FM
watu wasioona
21 February 2024, 12:07
Kasulu: Chama cha wasioona waomba kushirikishwa kwenye maamuzi
Uongozi wa chama cha wasioona wilayani Kasulu mkoani Kigoma wameomba viongozi ngazi ya halmashauri kujenga tabia ya kuwashirikisha katika mambo mbalimbali ili kutoa maoni juu ya maendeleo yao na taifa kwa ujumla. Emmanuel Kamangu anaripoti zaidi.