Joy FM

upotevu wa mapato

2 May 2024, 11:26

TRA Kigoma yakamata bidhaa feki

Serikali kupitia mamlaka ya mapato imewataka wananchi na wadau mbalimbali ili kusaidia kukabiliana na wimbi la uingizwaji wa bidhaa feki Nchini. Na Lucas Hoha – Kigoma Mamlaka ya mapato Tanzania TRA, Mkoa wa kigoma imekamata bidhaa mbalimbali ikiwemo vipodozi na…

5 March 2024, 10:09

Mapato yapotea, chanzo kukosekana kwa POS Kasulu

Kukosekana kwa mtambo wa ukusanyaji wa mapato (POS) Personal Operating System kwa baadhi ya kata ikiwemo Nyumbigwa na Murufyiti zilizopo halmashauri ya Mji kasulu Mkoani Kigoma imepelekea halmashauri hiyo kuendelea kupoteza mapato Hayo yamebainishwa na Watendaji wa kata hizo mbili…