upatikanaji wa maji
6 May 2024, 11:22
Mtoto wa miaka 8 afariki baada ya kuzama kwenye mto nyakafumbe
Wazazi wametakiwa kuwa karibu na watoto wao ili kubaini maeneo watoto wanapochezea ili kuwakinga kupata madhara na majanga ya kuanguka kwenye mito na visima. Na Michael Mpunije – Buhigwe Wananchi wa kitongoji cha Ruhuba kijiji cha Muhinda kata ya Muhinda…
3 May 2024, 16:02
Milioni 700 kuongeza mtandao wa maji Kasulu
Milioni 700 zimetolewa kwa ajili ya kutandika mabomba ya maji kwa kata za kasulu mjini ili kuwasogezea wananchi huduma ya maji karibu.
26 April 2024, 12:12
Ruwasa Kigoma: Tunazalisha maji lita elfu 42 kwa siku
Wadau wa maji Manispaa ya kigoma ujiji wameomba serikali kupitia mamlaka ya maji na usafi wa mazingira kuhakikisha inafikisha maji kwa wananchi ili kuondoa adha ya kutumia maji ya isima na mito. Na Lucas Hoha – Kigoma. Serikali imeondoa changamoto…
20 March 2024, 15:18
Prof. Ndalichako alipa deni kwa wananchi Kasulu
Waziri ofisi ya waziri mkuu kazi , vijana , ajira na wenye ulemavu prof Joyce ndalichako amezindua magati matano ya maji katika mtaa wa nyachijima kata ya kigondo halmashauri ya mji wa kasulu ikiwa ni mwendelezo wa kuhakikisha serikali inamtua…