Joy FM

ukatili

1 May 2024, 10:31

Wavuvi mialoni wageuka mwiba kwa wanawake

Vitendo vya ukatilii hasa kubakwa maeneo ya mialo mbalimbali mwambao wa ziwa tanganyika vimeendelea kuacha kovuna simanzi kwa wananwake wanaojishughulisha na uchakataji wa mazao ya samaki. Na Kadislaus Ezekiel – Kigoma Wanawake Wanaochakata Mazao ya Uvuvi Katika Ziwa Tanganyika Mkoani…