ukatili
1 May 2024, 10:31
Wavuvi mialoni wageuka mwiba kwa wanawake
Vitendo vya ukatilii hasa kubakwa maeneo ya mialo mbalimbali mwambao wa ziwa tanganyika vimeendelea kuacha kovuna simanzi kwa wananwake wanaojishughulisha na uchakataji wa mazao ya samaki. Na Kadislaus Ezekiel – Kigoma Wanawake Wanaochakata Mazao ya Uvuvi Katika Ziwa Tanganyika Mkoani…
23 April 2024, 16:06
“Kila wiki zaidi ya matukio 10 ya ukatili Buhigwe”
Jumla ya wajumbe zaidi ya 40 kutoka katika vijiji mbali mbali wilayani Buhigwe wameshiriki mafunzo maalumu lengo ikiwa ni kuhakikisha wanapewa elimu juu ya jinsi ya kuibua vitendo vya ukatili vinavyojitokeza katika maeneo yao.
5 March 2024, 09:16
Wanawake kushikamana yatajwa kuwa chachu ya kukabiliana na ukatili
Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi , Vijana, Ajira na wenye Ulemavu Prof. Joyce Ndalichako amewataka wanawake mkoani Kigoma kushikamana kukabiliana na vitendo vya ukatili ambavyo vimeacha majeraha katika familia nyingi.