Joy FM

ujenzi wa vibanda

29 February 2024, 13:06

Wananchi walia na ubovu wa miundombinu ya barabara kigoma

Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha nchini zimesababisha uharibifu wa miundombinu ya barabara hali ambayo imewalazimu wananchi kupaza sauti kwa serikali kuwasaidia kukarabati barabara kwenye maeneo yao. Na, Orida Sayon Wananchi wa Kata ya Kalinzi Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma Mkoani…