Joy FM

sokwe

5 April 2024, 13:51

Shughuli za binadamu zaathiri uhifadhi wa wanyamapori Kigoma

Licha ya Serikali na wadau wa uhifadhi nchini kuhimiza utunzaji wa mazingira kwa lengo la kunusuru uhai wa viumbe vinavyoishi kwenye misitu imeelezwa kuwa bado shughuli za binadamu zimeendelea kuathiri uhifadhi wa wanyamapori ikiwemo sokwe. Hayo yameelezwa na Mtafiti Dkt…