Joy FM
Joy FM
27 February 2025, 16:41
Serikali imeendelea kufikisha huduma kwa wananchi kwa kujenga miradi ya mbalimbali ya maendeleo ili kusaidia wananchi kupata huduma za uhakika. Na Hagai Ruyagila Kamati ya siasa CCM mkoa wa Kigoma imefanya ziara ya kutembelea miradi minne ya maendeleo katika halmashauri…
26 February 2025, 16:33
Ili kukabiliana na uharibifu wa misitu na wanyama pori kutoweka serikali imeanza kuwalipa fadia wananchi ili waondoke katika vijiji vilivyopo karibu na milima ya hifahdi ya mahale. Na James Jovin Serikali imeanza kulipa fidia na kuhamisha kaya zaidi ya 300…
19 February 2025, 10:45
Kaimu Mkuu wa Wilaya Kasulu Kanali Kanali Michael Ngayalina ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya Buhigwe amesema bajeti iliyopishwa ikawe chachu ya kuchochea maendeleo kupitia miradi mbalimbali Na Hagai Ruyagila – Kasulu Baraza la Madiwani wa halmashauri ya Mji Kasulu…
18 February 2025, 17:24
Mawadiwani katika halmashauri ya wilaya Kigoma wametakiwa kubuni vyanzo vipya vya mapato ili kuongeza mapato ya halmashauri hiyo. Na Tryphone Odace Baraza la madiwani katika Halmashauri ya Wilaya Kigoma limepitisha rasimu ya bajeti ya zaidi ya shilingi bilioni 36 ambayo…
11 February 2025, 10:38
Mkuu wa Mkoa Kigoma Thobias Andengenye ameyataka mashirika yasiyo ya Serikali kufanya kai kwa kuzingatia sera na miongozo ya katiba ya nchi katika kuwahudumia ikiwa ni pamoja na kuweka wazi shughuli wanazozifanya. Na Josephine Kiravu Mashirika yasiyo ya kiserikali yanayotekeleza…
11 February 2025, 10:22
Serikali ya Mkoa wa Kigoma imewataka wanasiasa kutokuwa chanzo cha mikataba ya maendeleo kuvunjwa bila kufuata utaratibu wa kisheria. Na Lucas Hoha Mkuu wa Mkoa wa Kigom Kamishina Jenerali Mstaafu wa jeshi la zimamoto na ukoaji Thobias Andengenye amewataka wanasiasa…
7 February 2025, 16:13
Wananchi na Madiwani katika Halmashauri ya Manispaa ya Kgoma Ujiji Mkoani Kigoma, wamemkataa mkandarasi anayejenga Soko Kuu la Mwanga na Soko la Samaki katika Mwaro wa Katonga, Kwa Madai ya kushidwa kutekeleza mradi kwa wakati, Na kusababisha hasala kwa wafanyabiashara…
31 January 2025, 12:11
Madiwani katika Halmashauri ya Manispaa ya Geita wamesema bajeti hiyo itaenda kusaidia katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa wananchi Na Samwel Masunzu – Geita Baraza la madiwani la halmashauri ya manispaa ya Geita mkoani Geita limepitisha rasmu ya makadirio…
30 January 2025, 15:17
Serikalikatika halmashauri ya wilaya Kasulu imesema itaendelea kusimamia miradi ya maendeleo ili iweze kusaidia wananchi Na Hagai Ruyagila Baraza la madiwani halmashauri ya wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma limepitisha bajeti ya zaidi ya shilingi bilioni 35 kwa mwaka wa fedha…
25 January 2025, 2:38 pm
Baadhi ya mifugo katika mnada wa halmashauri ya wilaya ya Uvinza. Picha na Ally Henry Hali ya kibiashara kuwa ngumu kutokana na mifugo kukosa malisho. Na Josephine Asenga Wafanyabiashara katika mnada wa mifugo uliopo katika Halmashauri ya wilaya ya Uvinza…