Joy FM

miundombinu

27 February 2025, 16:41

Kamati ya siasa CCM yatembelea miradi minne ya maendeleo Kasulu

Serikali imeendelea kufikisha huduma kwa wananchi kwa kujenga miradi ya mbalimbali ya maendeleo ili kusaidia wananchi kupata huduma za uhakika. Na Hagai Ruyagila Kamati ya siasa CCM mkoa wa Kigoma imefanya ziara ya kutembelea miradi minne ya maendeleo katika halmashauri…

19 February 2025, 10:45

Baraza la madiwani lapitisha bajeti ya bilioni 35.7 Kasulu Mji

Kaimu Mkuu wa Wilaya Kasulu Kanali Kanali Michael Ngayalina ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya Buhigwe amesema bajeti iliyopishwa ikawe chachu ya kuchochea maendeleo kupitia miradi mbalimbali Na Hagai Ruyagila – Kasulu Baraza la Madiwani wa halmashauri ya Mji Kasulu…

11 February 2025, 10:38

NGOs zatakiwa kuhudumia wananchi vijijini

Mkuu wa Mkoa Kigoma Thobias Andengenye ameyataka mashirika yasiyo ya Serikali kufanya kai kwa kuzingatia sera na miongozo ya katiba ya nchi katika kuwahudumia ikiwa ni pamoja na kuweka wazi shughuli wanazozifanya. Na Josephine Kiravu Mashirika yasiyo ya kiserikali yanayotekeleza…

11 February 2025, 10:22

Wanasiasa waonywa kutotumia siasa kuvunja mikataba ya miradi

Serikali ya Mkoa wa Kigoma imewataka wanasiasa kutokuwa chanzo cha mikataba ya maendeleo kuvunjwa bila kufuata utaratibu wa kisheria. Na Lucas Hoha Mkuu wa Mkoa wa Kigom Kamishina Jenerali Mstaafu wa jeshi la zimamoto na ukoaji Thobias Andengenye amewataka wanasiasa…

7 February 2025, 16:13

Mkandarasi atimuliwa kwa kuchelewesha mradi Kigoma

Wananchi na Madiwani katika Halmashauri ya Manispaa ya Kgoma Ujiji Mkoani Kigoma, wamemkataa mkandarasi anayejenga Soko Kuu la Mwanga na Soko la Samaki katika Mwaro wa Katonga, Kwa Madai ya kushidwa kutekeleza mradi kwa wakati, Na kusababisha hasala kwa wafanyabiashara…

31 January 2025, 12:11

Madiwani wapitisha bajeti ya shilingi bilioni 68.3 Geita

Madiwani katika Halmashauri ya Manispaa ya Geita wamesema bajeti hiyo itaenda kusaidia katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa wananchi Na Samwel Masunzu – Geita Baraza la madiwani la halmashauri ya manispaa ya Geita mkoani Geita limepitisha rasmu ya makadirio…

30 January 2025, 15:17

Baraza la madiwani lapitisha bajeti ya bilioni 35 Kasulu

Serikalikatika halmashauri ya wilaya Kasulu imesema itaendelea kusimamia miradi ya maendeleo ili iweze kusaidia wananchi Na Hagai Ruyagila Baraza la madiwani halmashauri ya wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma limepitisha bajeti ya zaidi ya shilingi bilioni 35 kwa mwaka wa fedha…

25 January 2025, 2:38 pm

Hali tete kwa wafanyabiashara wa ng’ombe

Baadhi ya mifugo katika mnada wa halmashauri ya wilaya ya Uvinza. Picha na Ally Henry Hali ya kibiashara kuwa ngumu kutokana na mifugo kukosa malisho. Na Josephine Asenga Wafanyabiashara katika mnada wa mifugo uliopo katika Halmashauri ya wilaya ya Uvinza…