Joy FM
Joy FM
28 January 2025, 14:37
Serikali imesema itahakikisha inawafikia watoto katika zoezi la usambazaji wa chanzo katika wilaya za mkoa wa kigoma Na Josephine Kiravu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye amekabidhi pikipiki 12 pamoja na gari moja kwa ajili ya kusambaza chanjo katika…
28 January 2025, 6:39 am
Lengo la mkutano wake na wafanyabiashara ni kukaa na kujadili namna gani ya kushirikiana ili kusonga mbele kwa mwaka huu wa 2025. Na Edward Lucas Wafanyabiashara wilayani Bunda wajadili changamoto zao katika sekta ya mifugo, uvuvi , kilimo pamoja na…
25 January 2025, 8:02 pm
Miongoni mwa maeneo yatakayokuwa yanalengwa zaidi katika wiki hii ya sheria ni pamoja na migogoro ya ardhi, mirathi, ndoa na talaka miongoni mwa maeneo mengine. Na Adelinus Banenwa Mahakama ya wilaya ya bunda imezindua rasmi leo wiki ya sheria inayoongozwa…
24 January 2025, 6:03 pm
UWT Bunda mwaka huu wamepanga kufanya shughuli mbalimbali za kijamii katika kuelekea sherehe hizo za miaka 48 ya CCM ambazo ni pamoja na kupanda miti walau 50 kila kata, kufanya usafi katika ofisi za umma, kutembelea makundi ya watu wasiyojiweza…
24 January 2025, 17:38
Wadau mbambaili wa maendeleo nchini wameaswa kuendelea kujitokeza kuwasaidia watu wanaoishi katika mazingira magumu wakiwemo wakimbizi wanaoishi katika kambi ya wakimbizi Nyarugusu. Na Emmanuel kamangu Kampuni ya simu ya itel nchini Tanzania imetoa vitu vyenye thamani ya zaidi million 100…
24 January 2025, 12:48
Utoaji wa mikopo kwa vikundi vya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu inatajwa kuwa mkombozi kwa wanufaika wa mikopo hiyo kiuchumi. Na Hagai Ruyagila Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma imekabidhi hundi ya mkopo wa zaidi ya shilingi milioni 34…
24 January 2025, 09:06
Serikali imesema kuwa itaendelea kuboresha bandari nchi kwa lengo la kuwavutia wawekezaji kutoka ndani na nje ya nchi. Na Kadislaus Ezekiel Waziri wa Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa amesema Serikali imedhamiria kuufungua mkoa wa kigoma kupitia sekta ya usafirishaji kwa njia…
24 January 2025, 08:42
Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye amewataka wananchi kujitokeza kushiriki kwenye kampeni ya Mama Samia Legal Aid ili waweze kupata elimu ya masuala ya kisheria. Na Josephine Kiravu Imeelezwa kuwa uelewa wa kisheria kwa wananchi hasa wanaoishi maeneo ya…
22 January 2025, 6:00 pm
Hadi sasa amekamatwa mtu mmoja kwa tuhuma hizo za kuharibu makaburi na tayari ameshafikishwa jeshi la polisi. Na Adelinus Banenwa Baadhi ya vyuma vinavyodaiwa kung’olewa kwenye makaburi ya Zanzibar vyakamatwa kwenye godauni la vyuma Chakavu Bunda. Nyabatuli Ndege mwenyekiti wa…
22 January 2025, 1:05 pm
Vitambulisho elfu 12 ni kati ya vitambulisho 62,370 vilivyoletwa Bunda. Na Adelinus Banenwa Afisa usajili mamlaka ya vitambulisho vya taifa NIDA wilaya Bunda Fredson John Samwel amesema zaidi ya vitambulisho elfu 12, vimerejeshwa ofisi za NIDA wilaya kutoka kwenye ofisi…