Joy FM

maendeleo

6 February 2025, 11:56

Diwani atoa msaada wa madawati kwa shule sita Kasulu

Wadau mbalimbali wa maendeleo wametakiwa kuwa na desturi kuchangia kwenye maendeleo ya shule ili kuhakikisha wanafunzi wanasoma katika mazingira mazuri na kuongeza ufaulu Na Emmanuel Kamangu Jumla ya madawati 210 yenye thamani ya zaidi ya milioni 11 zimetengenezwa na diwani…

4 February 2025, 11:47

Mfumo wa tehama wasaidia kumaliza mashauri kwa wakati Geita

Mahakama kuu Masjala ndogo ya Geita Mkoani Geita imesema matumizi ya teknolojia imesaidia kuharakisha na kumaliza mashauri kwa wakati Imeelezwa kuwa matumizi ya mfumo wa tekonojia TEHAMA katika uendeshaji wa shughuli za kimahakama umesaidia kumaliza mashauri ndani ya wakati na kwa haraka…

4 February 2025, 11:26

Serikali yaweka mikakati kutatua changamoto ya madawati Kasulu

Serikali katika Halmashauri ya Mji Kasulu imesema kupitia bajeti iliyopitishwa kuweka kipaumbele cha ununuzi wa madawati katika halmashauri hiyo ili kusaidia kupunguza uhaba wa madawati uliopo katika shule mbalimbali. Na Michael Mpunije Idara ya Elimu halmashauri ya mji Kasulu mkoani…

4 February 2025, 10:53

Madereva wanaopaki maroli pembezoni mwa barabara kushushiwa rungu

Madereva wa maroli katika Halmashauri ya Mji wa Kasulu wametakiwa kuzingatia sheria na kuacha kupaki magari yao pembezoni mwa barabara. Na Emmanuel Kamangu Baraza la madiwani  halamshauri ya mji wa Kasulu limemuagiza mkurugenzi wa mji kasulu kuhakikisha anawashugulikia madereva wote…

3 February 2025, 7:24 pm

Zaidi ya watu 2700 wafikiwa wiki ya sheria Bunda

Wananchi zaidi ya 2700 wamefikiwa wiki ya sheria wilayani Bunda baada ya kufika katika vituo vilivyokuwa vimeainishwa na wadau wa mahakama. Na Adelinus Banenwa Wananchi zaidi ya 2700 wamefikiwa wiki ya sheria wilayani Bunda baada ya kufika katika vituo vilivyokuwa…

31 January 2025, 13:07

Watumishi wa umma watakiwa kuzingatia utawala bora Buhigwe

Watumishi wa umma Wilayani Buhigwe Mkoani Kigoma wametakiwa kufanya kazi kwa kuzingatia utawala bora ili kuhakikisha wanafikia azma ya kufikisha maendeleo kwa wananchi. Na Emmanuel Kamangu Katibu tawala wa Wilaya ya Buhigwe Utefta Mahega amewataka Watumishi wa umma Wilaya ya…

31 January 2025, 12:11

Madiwani wapitisha bajeti ya shilingi bilioni 68.3 Geita

Madiwani katika Halmashauri ya Manispaa ya Geita wamesema bajeti hiyo itaenda kusaidia katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa wananchi Na Samwel Masunzu – Geita Baraza la madiwani la halmashauri ya manispaa ya Geita mkoani Geita limepitisha rasmu ya makadirio…

31 January 2025, 11:25

TAKUKURU Kigoma yabaini mapungufu miradi 31 ya maendeleo

Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Kigoma imebaini mapungufu madogo madogo katika miradi 31 ya maendeleo kati ya miradi 32. Na Orida Sayon Akitoa taarifa ya ufuatiliaji wa miradi ya maendeleo katika kipindi cha kuanzia mwezi…

30 January 2025, 15:17

Baraza la madiwani lapitisha bajeti ya bilioni 35 Kasulu

Serikalikatika halmashauri ya wilaya Kasulu imesema itaendelea kusimamia miradi ya maendeleo ili iweze kusaidia wananchi Na Hagai Ruyagila Baraza la madiwani halmashauri ya wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma limepitisha bajeti ya zaidi ya shilingi bilioni 35 kwa mwaka wa fedha…

30 January 2025, 12:53

Wakimbizi waishio kambi ya Nduta watakiwa kurejea nchini kwao

Serikali imewataka wakimbizi kutoka nchini Burundi ambao wanahifadhiwa katika kambi ya wakimbizi Nduta kurejea nchini kwao kwani kwa sasa usalama wa nchi hiyo umekwisha imarika. Na Lucas Hoha Wakimbizi  wanaohifadhiwa kwenye kambi ya wakimbizi Nduta iliyopo Wilaya ya Kibondo wamekubali…