Joy FM
maabara bubu
11 March 2024, 15:36
Serikali yabaini uwepo wa maabara bubu Kasulu
Wananchi wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kufuata huduma za afya katika vituo vinavyotambuliwa na serikali baada ya kubainika uwepo wa maabara Bubu ambayo imekuwa ikitoa huduma za vipimo kinyume cha sheria. Akiwa katika ukaguzi wa usafi wa Mazingira katika mtaa…