Joy FM

maabara bubu

11 March 2024, 15:36

Serikali yabaini uwepo wa maabara bubu Kasulu

Wananchi wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kufuata huduma za afya katika vituo vinavyotambuliwa na serikali baada ya kubainika uwepo wa maabara Bubu ambayo imekuwa ikitoa huduma za vipimo  kinyume cha sheria. Akiwa katika ukaguzi wa usafi wa Mazingira katika mtaa…