Joy FM

huduma za afya kasulu

23 February 2024, 15:37

Wananchi waipongeza serikali maboresho huduma za afya Kasulu

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kusogeza huduma za afya karibu na wananchi wa wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma kwa kuongeza idadi ya zahanati, vituo vya Alafya na kuboresha hospital ya wilaya ya Kasulu Mlimani kuhakikisha jamii inapata…