Joy FM
haki za mtoto
11 March 2024, 16:47
Rwizile: Haki za mtoto hazigawanyiki
Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Kigoma Mhe. Augustine Rwizile amesema kila mtu ana haki ya kulinda na kuthamini haki za mtoto kwani haki hizi hazigawanyiki. Na, Mwandishi wetu Winfrida Ngassa. Mh Augustine Rwizile amesema hayo wakati…