Joy FM
Joy FM
11 April 2025, 17:28
Wasariamali na wafanyabiashara wadogo wamepewa mafunzo yanayolenga kuwainua kiuchumi Na Michael Mpunije Wasimamizi wa taasisi za kifedha wametakiwa kushirikiana na wajasiriamali pamoja na wafanyabiashara wadogo wadogo na wa kati katika kuandaa mpango wa Biashara ili kuhakikisha wanajikwamua kiuchumi. Hayo yamejiri…
9 April 2025, 11:34
Shughuli za usafirishaji kwa njia za maji ni miongoni mwa vyanzo vya mapato kwa taifa la Tanzania pia kwa mwnanchi mmoja mmoja hivyo weledi na ufanisi utafanikisha shughuli hiyo Na Sadick Kibwana Wadau wa usafirishaji wa majini Mkoa wa Kigoma…
29 March 2025, 7:09 pm
Kila mmoja anatakiwa kutimiza wajibu wake kwa kuchukua tahadhari kwa kila hatua ili kujikinga na kuwakinga wengine. Na Abdunuru Shafii Kamati ya afya ya msingi ya wilaya ya Uvinza imefanya kikao katika ukumbi wa halmashauri kwa lengo la kutoa elimu…
27 March 2025, 10:42
Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu idara ya management ya maafa imetoa elimu kwa watendaji wa kata na mitaa katika Manispaa ya Kigoma Ujiji ya namna ya kupunguza madhara ya maafa kufuatia maafa ya mafuriko, magonjwa ya mlipuko…
25 March 2025, 13:01
November 24 mwaka 2021 aliyekuwa waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Joyce Ndalichako alitangaza kuruhusiwa kurejea shuleni kwa wanafunzi waliokatisha masomo kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ujauzito kurejea shuleni kwa mfumo rasmi baada ya kujifungua. Na Josephine Kiravu Wanafunzi…
25 March 2025, 11:28
Madereva wa magari madogo Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wameaswa kuzingatia sheria za usalama barabarani Na Hagai Ruyagila – Kasulu Madereva wa magari madogo ya kubeba abiria katika halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma, wameishukuru serikali ya awamu ya sita kupitia…
25 March 2025, 9:10 am
Diwani wa wa kata ya kumunyika Bw. Seleman Kwirusha kutoa rai kwa wananchi kuhakikisha wanajikinga na ugonjwa hatari wa homa ya nyami kwa kufuata taratibu za kiafya. Na. Emmanuel Kamangu Diwani wa wa kata ya kumunyika ambaye pia ni Makamu…
18 March 2025, 14:34
Chuo cha Taifa cha usafirishaji NIT chatoa elimu ya usalama barabarani kwa wananchi mkoani Kigoma Na Hagai Ruyagila Chuo Cha taifa cha usafirishaji NIT kupitia kituo chake cha kikanda cha umahiri katika usalama barabarani kimeandaa mafunzo ya usalama barabarani kwa…
17 March 2025, 15:27
Serikali yabaini Utekelezaji hafifu wa njia za kuimarisha usalama wa wanafunzi kuwa miongoni mwa changamoto zinazowakabili wanafunzi shuleni hasa wenye mahitaji maalumu Na Hagai Ruyagila Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Elimu sayansi na Taknolojia kwa kushirikiana na Ofisi ya…
14 March 2025, 16:43
Mkoani Kigoma Serikali imeendelea kutoa elimu pamoja na kupambana na kudhibiti ugonjwa wa maralia Na Lucas Hoha Vyandarua zaidi ya laki moja na thelathini vinatarajiwa kugawiwa bure kwa wakazi wa Manispaa ya Kigoma Ujiji kwa lengo lakudhibiti na kupambana na…