Joy FM
Joy FM
August 20, 2025, 12:38 pm
Mamia ya wananchi kutoka kata za Sakina na Ungalimited jijini Arusha, leo wamejitokeza kwa wingi kuwasindikiza madiwani wao kuchukua fomu za kugombea nafasi ya udiwani kupitia chama cha Mapinduzi, kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu. Na Jenipha…
19 August 2025, 17:33
Katika jamii yoyote ile, watoto ni nguzo muhimu ya maendeleo ya sasa na baadaye na maadili ni msingi wa malezi bora yanayomuwezesha mtoto kuwa raia mwema na mwenye mchango chanya kwa jamii hata hivyo, katika siku za hivi karibuni, kumekuwa…
13 August 2025, 15:57
Kuelekea uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge na Rais, Waandishi wa habari Mkoani Kigoma wamepewa mafunzo ya usalama kazini hasa kipindi cha uchaguzi N a Josephine Kiravu Wanahabari Mkoani Kigoma wamepatiwa mafunzo ya namna ya kujilinda wakati wa utekelezaji wa majukumu…
7 August 2025, 16:13
Msimamizi wa uchaguzi wa Jimbo la Kasulu Mji Nurfus Aziz ametoa maelekezo kwa wasimamizi wa uchaguzi ngazi ya kata kuhakikisha wanafuata miongozi ya Tume ya uchaguzi Na Hagai Ruyagila Wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya Kata katika Halmashauri ya Mji…
July 31, 2025, 6:00 pm
Serikali imeombwa kuufanya Mkoa wa Kagera kuwa Kanda Maalum ili kukabiliana na majanga ambayo yamekuwa yakiukumba mkoa huo mara kwa mara ikiwemo magonjwa na majanga ya asili. Na Anold Deogratias Mkuu wa wilaya ya Bukoba Erasto Sima ameiomba serikali kuutambua…
30 July 2025, 11:57
Vijana waliohitimu mafunzo katika chuo cha veta Kigoma wametakiwa kutumia ujuzi walioupata kuchangamkia fursa zilizopo kujiajiri. Na Orida Sayon Waziri wa maendeleo ya jamii, wanawake, jinsia na makundi maalumu Mh. Doroth Gwajima ameelekeza wakurugenzi wa maendeleo ya jamii nchini kupeleka…
28 July 2025, 09:55
Wazazi na walezi wenye watoto wenye ulemavu wameshauriwa kutowafisha watoto wenye mahitaji maalumu kwa kufanya hivyo ni kuwanyima haki zao msingi. Na Hagai Ruyagila Mkuu wa Wilaya ya Kasulu, Kanali Isaac Mwakisu, ametoa wito kwa wazazi na walezi wilayani humo…
25 July 2025, 12:42
Halmashauri ya Mji wa Kasulu mkoani Kigoma inakabiliwa na upungufu wa lita milioni 5 za maji kati ya lita milioni 15 zinazohitajika ili kuondoa changamoto ya uhaba wa maji safi na salama kwa wananchi. Na Hagai Ruyagila Waziri wa Maji…
July 23, 2025, 11:46 pm
Watendaji wa uchaguzi katika mikoa ya Arusha na Manyara wametakiwa kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia taratibu, kanuni na sheria walizofundishwa, kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu. Na Jenipha Lazaro Akizungumza katika hafla ya kufunga mafunzo ya wasimamizi wa uchaguzi…
23 July 2025, 16:05
Wasafiri wametakiwa kutoa taarifa za uvunjifu wa amani wakati wakiwa safarini. Na Hagai Ruyagila Jeshi la Polisi Kitengo cha Usalama barabarani Wilayani Kasulu limetoa wito kwa wasafiri wote wanaotoka Wilaya hiyo kuelekea maeneo mengine kutoa taarifa mapema wanapobaini dalili zozote…