Joy FM
Joy FM
28 October 2024, 13:03
Katibu tawala wilaya Kasulu Mkoani Kigoma Bi. Theresia Mtewele amesema tayari serikali imefungua zoezi la utoaji wa mikopo ya asilimia kumi inayotolewa na halamshauri kupitia mapato ya ndani na hivyo vijana wanaohitimu mafunzo ya ufundi hawana budi kuchangamkia fulsa hiyo…
25 October 2024, 13:40
Serikali imesema itaendelea kuhamasisha wajawazito kuhakikisha wanajifungulia kwenye vituo vya kutolea huduma za afya ili kuendelea kupunguza vifo vya watoto wachanga na watoto. Na James Jovin – Kibondo Idadi ya akina mama wajawazito wanaojifungulia kwa wakunga ama waganga wa jadi…
24 October 2024, 09:06
Serikali wilayani Buhigwe imesema inaendelea kuweka mikakati mbalimbali ya kukabiliana na tatizo la udumavu kwa watoto ikiwa ni pamoja na kusimamia suala la chakula shuleni ili wanafunzi waweze kupata chakula. Na Emmanuel Kamangu – Buhigwe Mwenyekiti wa kamati ya lishe…
22 October 2024, 10:43
Wakati zoezi la kujiandikisha kwenye daftari la makaazi likifikia tamati oktoba 20, 2024, Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya Kasulu Dkt. Semistatus Mashimba amesema halmashauri hiyo imefikia lengo la zoezi hilo la kijiandikisha. Na Michael Mpunije – Kasulu Wilaya ya Kasulu…
22 October 2024, 09:19
Serikali wilayani Kakonko imesema itaendelea kuwapa mikopo vijana wanahitimu mafunzo ya ufundi stadi ili waweze kutumia mikopo hiyo kujiajiri kupitia shughuli mbalimbali za uzalishaji mali na kujiongezea kipato. Na James Jovin – Kakonko Wanafunzi waliohitimu mafunzo ya ufundi stadi katika…
21 October 2024, 1:15 pm
Na Katalina Liombechi Wakulima wa kokoa wanashauriwa kuzingatia kanuni bora za kilimo kwa kupanda na kufanya palizi kwa wakati ili kuvuna kwa tija. Kwa mujibu wa Afisa Kilimo Kijiji cha Mbingu Sister Eusebia Punduka, kupanda kokoa kwa wakati ni muhimu…
18 October 2024, 17:30
Askofu wa Kanisa la anglikana dayosisi ya western Tanganyika Mhashamu Emmanuel Bwata amewataka wananchi kujiandikisha ili waweze kushiriki katika uchaguzi wa serikali za mita. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Wito umetolewa kwa wananchi wa wilaya ya Kasulu Mkoni Kigoma kutumia…
18 October 2024, 16:56
Wakati zikiwa zimesalia siku mbili kabla ya zoezi la kujiandikisha kwenye daftari la mkaazi kufungwa hapo oktoba 20 mwaka huu, wananchi wametakiwa kutumia muda huo kujitokeza na kujiandikisha ili waweze kupata nafasi ya kushiriki kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa…
17 October 2024, 17:19
Watumishi wa Umma katika kada ya Waandishi waendesha Ofisi mkoani Kigoma wamelalamikia baadhi ya wakuu wa idara na vitengo kushidwa kuthamini kazi zao huku wakiwa katika hatari ya kupoteza ajira kutokana na mabadiliko ya Sayansi na Technolojia baada ya kazi…
17 October 2024, 13:19
Ukosefu wa Elimu Kwa Wananchi Mkoani Kigoma, Umepelekea kuchanganya zoezi la kuandikisha wapiga kura, na vitambulisho vya mpiga kura, na huenda wengi wao wakakosa sifa za kuwa na uhalali wa kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa, kwa kushidwa kujitokeza katika…