Joy FM

anuani za makazi

14 March 2024, 10:20

Vibao vya anuani za makazi vyageuzwa vyuma chakavu Kigoma

Katibu Tawala wa Wilaya ya Kigoma Mganwa Nzota amekemea tabia za wananchi wanaoharibu miundombinu ya nguzo na vibao vya anuani ya makazi na kutumia kama vyuma chakavu. Ameyasema hayo wakati akifungua mafunzo ya utekelezaji wa mfumo wa anuani za makazi…