Joy FM

Elimu

4 July 2024, 12:02

Wananchi walalamikia michango mingi shuleni

Wazazi na walezi wilayani kibondo Mkoani Kigoma wametakiwa wameomba serikali kupunguza baadhi ya michango midogo midogo ambayo hutozwa shuleni kutokana na hali kuwa ngumu ya maisha. Na James Jovin – Kibondo Wakati shule tayari zimefunguliwa kwa muhula wa pili kwa…

2 July 2024, 08:42

Wananchi Mwilamvya wachanga milioni 14 kujenga shule mpya

Ili kukabiliana na chamgamoto ya watoto kutembea umbali mrefu kwa wananchi wa kata ya Mwilamvya wilayani Kasulu, hatimaye wananchi wamekubaliana kushirikiana na wadau wa maendeleo kuchanga pesa kwa ajili ya kuanza ujenzi wa shule mpya katani hapo. Na Emmanuel Kamangu…

12 January 2024, 08:28

Serikali yatoa pikipiki 4 kwa maafisa ugani Kigoma

Serikali imetoa pikipiki 4 zenye thamani ya shilingi Milioni 12 kwa maafisa ugani wa idara ya mifugo na uvuvi katika Manispaa ya Kigoma ili kurahisisha kufanya kazi ya kutoa Elimu kwa wafugaji, wakulima na wavuvi ili wazalishe kwa tija. Na…