Jamii FM
Jamii FM
17 December 2025, 3:15 pm
Uamuzi huo unaifanya Tanzania kuwa kituo cha vijana cha Umoja wa Afrika kwa ajili ya kuwajengea uwezo na maarifa katika masuala ya tabianchi. Na Mwandishi wetu Tanzania imechaguliwa kuwa kituo cha mafunzo ya vijana wa Afrika kuhusu mabadiliko ya tabianchi…
15 December 2025, 3:51 pm
Utunzaji wa mazingira ni muhimu katika jamii hususani utunzaji wa milima. Na Farashuu Abdallah. Wananchi wamehimizwa kutunza mazingira ili kuepuka athari hasi zinazoweza kutokea katika jamii. Wito huo umetolewa na Mkuu wa kitengo cha mawasiliano Serikalini halmashauri ya jiji la…
11 December 2025, 5:19 pm
Na Farashuu Abdallah.Kila Desemba 11 ni maadhimisho ya Siku ya Milima Duniani ambayo lengo lake ni kuhamasisha ulimwengu kuhusu umuhimu wa milima kwa maisha ya binadamu, mazingira na maendeleo endelevu. Farashuu Abdallah amezungumza na baadhi ya wananchi mkoani Dodoma ili…
11 December 2025, 4:23 pm
Kutopewa kipaumbele na Kupuuzwa kwa sekta ya kilimo katika Mkutano wa COP30 ni kinyume na miongozo ya kimataifa, jambo linaloweza kuathiri juhudi za Afrika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Na Mwandishi wetu.Msikilizaji, leo tunakuletea makala ambayo itaangazia Mkutano wa Kimataifa…
10 December 2025, 4:35 pm
Picha ni Dickson Kimaro Mkuu wa Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa taka ngumu katika ziara ya ukaguzi wa usafi wa mazingira Kata ya Dodoma Makulu. Picha na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya. Ziara hiyo imelenga kutathmini hali ya usafi…
5 December 2025, 5:21 pm
Madiwani Halmashauri ya Sengerema wamekula kiapo cha kuwatukia wananchi wa Halmashauri hiyo baada ya uchaguzi mkuu uliofanyika Oct.29 2025 Na,Emmanuel Twimanye Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema Mkoani Mwanza wamewatakiwa kwenda kufanya kazi kwa kutanguliza mbele maslahi ya wananchi.…
5 December 2025, 4:51 pm
Madiwani wateule waapisha rasimi kuwatumikia wananchi baada ya uchaguzi mkuu uliofanyika Mwenzi Oktoba 29 2025 katika Halmashauri ya Buchosa mkoani Mwanza. Na,Michael Mgozi Madiwani na Watumishi wa Halmashauri ya Buchosa wametakiwa kufanya kazi kwa bidii ili kupunguza migogoro na kero…
3 December 2025, 3:28 pm
Licha ya uokotaji taka kuwa chanzo cha kipato kwao, mchango wao katika kuweka mazingira katika hali ya usafi umeendelea kutambuliwa na wadau wa mazingira. Picha na Google. Hatua nyingine ni kuhakikisha waokota taka wanapatiwa vitambulisho rasmi vitakavyowatambua na kutambua kazi…
25 November 2025, 3:22 pm
Ikumbukwe kwua Kazi ya ukusanyaji taka rejeshi imeelezwa kuwa ni sehemu muhimu ya uhifadhi wa mazingira na chanzo cha mapato kwa watu wengi, hivyo jamii inapaswa kuondoa dhana hasi na kutambua mchango wa wahusika wa kazi hiyo. Na ;Anwary Shaban.Jamii…
10 November 2025, 12:46 pm
Kupitia shughuli ya ukusanyaji wa plastiki, kazi hii imekuwa chanzo cha ajira na kipato cha familia. Na Lilian Leopold.Kile ambacho wengi hukiona kama taka, kwa wengine ni njia ya kujipatia ridhiki, jijini Dodoma shughuli ya ukusanyaji wa plastiki imekuwa mkombozi…