Jamii FM

UCHAGUZI

8 April 2021, 17:32 pm

Kizito aibuka mshindi uchaguzi TCCIA

Kizito Garnoma ameibuka mshindi kwa nafasi ya Mwenyekiti wa chama cha wafanyabiashara, kilimo na Viwanda TCCIA mkoa wa Mtwara kwa miaka minne ijayo. Kizito amechaguliwa kushika wadhifa huo leo katika ukumbi wa Tiffany Diamond Mtwara huku akishinda kwa kura 45…