Jamii FM

Uchaguzi Mkuu Tanzania

19 October 2020, 11:08 am

Asasi za kiraia za paza sauti uchaguzi Mkuu

Asasi za kiraia zimetoa tamko la kulaani vitendo vya ukandamizaji, uonevu na udhalilishaji kwa wanawake wanaogombea nafasi mbalimbali za uwakilishi ngazi ya ubunge na udiwani. Door of hope Tanzania, Mtwangonet, Fawopa na Nerio za mkoani Mtwara wanapinga vitendo vya udhalilishaji,…