Jamii FM
Tiba
22 February 2021, 12:50 pm
Anayefahamu Tiba Asilia ya Magonjwa Upumuaji afike ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara.
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Gelasius Byakanwa ametoa wito kwa wananchi mkoani hapa kwa Anayefahamu tiba asilia ya magonjwa ya mfumo wa upumuaji, magonjwa ya pumu na magonjwa ya mfumo wa hewa na mwenye dawa asilia zenye kutibu magonjwa hayo,…