Jamii FM
RadioDay
13 February 2024, 11:30 am
Mahitaji ya kupata habari ni makubwa kwa sasa – Said Swallah
Na Grace Hamisi, Amua Rushita Kila ifikapo Februari 13 ya kila mwaka dunia huadhimisha siku ya Redio Duniani ambapo huzungumziwa mchango wa redio katika masuala mbalimbali ya kimaendeleo, changamoto wanazokutanazo jamii na kuziwasilisha kwa wenye mamlaka . Lakini pia redio…