Jamii FM
Kijamii
1 December 2020, 11:59 am
Kampeni ya kugawa Taulo za kike kwa Wanafunzi Mtwara yaanza
Moja kati ya changamoto kubwa inayowakumba watoto wakike walioko shuleni hadi kupelekea kujiingiza katika mahusiano wakiwa na umri mdogo ni suala la upatikanaji wa taulo za kike, hii imekuwa changamoto kubwa kwa mabinti wengi. Kwa kulitambua hilo Mwanaidi Simba Kutoka…