Jamii FM

Kijamii

1 December 2020, 11:59 am

Kampeni ya kugawa Taulo za kike kwa Wanafunzi Mtwara yaanza

Moja kati ya changamoto kubwa inayowakumba  watoto wakike walioko shuleni  hadi kupelekea kujiingiza katika mahusiano wakiwa na umri mdogo ni suala la upatikanaji wa taulo za kike, hii imekuwa changamoto kubwa kwa mabinti wengi. Kwa kulitambua hilo  Mwanaidi Simba  Kutoka…