Jamii FM
Door of hope
6 March 2021, 14:15 pm
Door of hope yatoa msaada kwa ajili ya siku ya Wanawake Duniani
Kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, Leo 6, Machi 202, taasisi ya Door of Hope Tanzania imekabidhi kilo 200 za Mchele kwenye Halmashauri ya Mtwara Mikindani chini ya Idara ya Maendeleo ya jamii kama sehemu ya kuwashika mkono wanawake…