Jamii FM

Ardhi

28 June 2021, 15:44 pm

Ukidhulumiwa Ardhi, fuata utaratibu

Na Karim Faida Wananchi wametakiwa kuwatumia watu sahihi pale panapotokea migogoro ya ardhi ili kupata majibu sahihi hatua ambayo itasaidia kuondokana na migogoro inayopelekea kurudisha nyuma maendeleo ya mtu mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla. Hayo yamesemwa na Wakili Amani…