Ileje FM

TANZANIA

April 26, 2024, 4:38 pm

Wananchi Ileje waaswa kuudumisha muungano

Na Denis Sinkonde,Songwe Mkuu wa Wilaya ya Ileje mkoani Songwe Farida Mgomi, amewataka wananchi wa wilaya hiyo kuuenzi, kuulinda na kuutetea Muungano  kwa kushirikiana kufanya kazi kwa bidii juhudi na maarifa ili kuendelea kutunza na kuimarisha tunu za Muungano. Mgomi,…