Ileje FM
TANZANIA
April 26, 2024, 4:38 pm
Wananchi Ileje waaswa kuudumisha muungano
Na Denis Sinkonde,Songwe Mkuu wa Wilaya ya Ileje mkoani Songwe Farida Mgomi, amewataka wananchi wa wilaya hiyo kuuenzi, kuulinda na kuutetea Muungano kwa kushirikiana kufanya kazi kwa bidii juhudi na maarifa ili kuendelea kutunza na kuimarisha tunu za Muungano. Mgomi,…