Ileje FM
CHANJO
April 23, 2024, 4:25 pm
Wasichana 10114 wenye umri chini ya miaka 14 kupatiwa chanjo ya HPV
Wasichana 10114 wenye umri chini ya miaka 14 wilayani Ileje Mkoani Songwe wanatarajia kupatiwa chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi(HPV). Katika uzinduzi huo ambao umefanyika leo April 23,2024 katika shule ya sekondari Ileje na Mkuu wa wilaya hiyo Farida…