Ileje FM
Chandarua
April 26, 2024, 4:27 pm
DC Ileje apiga marufuku kutumia vyandarua kujengea bustani
Denis sinkonde, Songwe Mkuu wa Wilaya ya Ileje mkoani Songwe Farida Mgomi amewaagiza viongozi wa serikali za vijiji wilayani humo kusimamia agizo la wananchi kutotumia vyandarua kwenye bustani za mbogamboga. Mgomi ametoa agizo hilo wakati wa maadhimisho ya siku ya…