Ileje FM

Chandarua

April 26, 2024, 4:27 pm

DC Ileje apiga marufuku kutumia vyandarua kujengea bustani

Denis sinkonde, Songwe Mkuu wa Wilaya ya Ileje mkoani Songwe Farida Mgomi amewaagiza viongozi wa serikali za vijiji wilayani humo kusimamia agizo la wananchi kutotumia vyandarua kwenye bustani za mbogamboga. Mgomi ametoa agizo hilo wakati wa maadhimisho ya siku ya…