Highlands FM
Wanahabari
27 April 2024, 16:39
Highlands FM wanolewa matumizi ya teknolojia, maadili
Tadio imekuwa ikitoa mafunzo mara kwa mara kwa wafanyakazi wa redio wanachama wake na kwa sasa inatoa mafunzo ya utangazaji wa mtandaoni hususani matumizi ya mitandao ya kijamii na maadili ya uandishi wa habari. Na John Ilomo Mhariri wa Radio…