Highlands FM
Biashara
20 May 2024, 17:09
Wananchi mkoani mbeya wametoa maoni kuhusu faida na fursa ya zao la nyuki
Ufugaji wa nyuki unaweza kuwa chanzo kizuri cha kipato cha ziada kwa wakulima wadogo wadogo. Uzalishaji wa asali nchini Tanzania umekuwa ukitegemea sana wafugaji wadogo wadogo, wanaotumia njia za kiasili kama vile mizinga ya magogo au vyungu, kwa nyuki wa…
22 March 2024, 16:46
TBL yajitosa kutunza mazingira
Na Samwel Ndoni,Mbeya Wakazi wa jiji la Mbeya wameshauriwa kupanda miti rafiki na maji ili kukabiliana na tishio la mabadiliko ya tabianchi ambayo yameendelea kuathiri mazingira na vyanzo vya maji nchini. Wito huo umetolewa na Meneja wa kiwanda cha kuzalisha…